Jawabu: Ni hiyana, nayo maana yake ni kupoteza haki za Mwenyezi Mungu Mtukufu na haki za watu.
Amesema Mtume Sala na amani ziwe juu yake: "Alama za mnafiki ni tatu" Na akataja miongoni mwa hizo alaama "Na akiaminiwa anafanya hiyana" Wamekubaliana Bukhari na Muslim.